Fasihi na Ulemavu: Uchambuzi wa Methali za Kiswahili ni kitabu kinachochambua methali za Kiswahili zenye kutaja ulemavu. Je ni ulemavu wa aina gani unaotajwa katika methali hizo? Kwa nini utajwe ulemavu huo na sio mwingine? Kwa nini aina fulani ya ulemavu inajitokeza zaidi ikilinganishwa na aina zingine za ulemavu? Soma kitabu hiki ufahamu majibu ya maswali haya.
Sprache
Verlagsort
Produkt-Hinweis
Broschur/Paperback
Klebebindung
Maße
Höhe: 280 mm
Breite: 216 mm
Dicke: 3 mm
Gewicht
ISBN-13
978-1-300-84173-9 (9781300841739)
Copyright in bibliographic data and cover images is held by Nielsen Book Services Limited or by the publishers or by their respective licensors: all rights reserved.
Schweitzer Klassifikation